• elisheshe@yahoo.com
  • +255765837485
  • On: 13 Oct, 2023
  • Admin

Part 01- MATHAYO 15:28

“ Ndipo Yesu akajibu , akamwambia , mama imani yako ni kubwa , na iwe kwako kama utakavyo .Akapona binti yake tangu saa ile.”

  • On: 13 Oct, 2023
  • Admin

Part 02- MATHAYO 15:28

“ Ndipo Yesu akajibu , akamwambia , mama imani yako ni kubwa , na iwe kwako kama utakavyo .Akapona binti yake tangu saa ile.”

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

MUNGU ANASEMA NINI KUHUSU NDUGU by Niko Shaidi

Bwana Yesu Kristo asifiwe! Wapendwa ndugu zangu katika Kristo Yesu Bwana wetu, tumesikia kutoka kwa kaka yetu mkubwa ndugu Vincent Marko Shaidi, wengine baba mkubwa na wengine babu alivyotueleza wazee wetu walivyotuasa jinsi ya ndugu kuishi. Mimi nimepewa jukumu la kuangalia na kuchunguza maandiko matakatifu yaani Biblia ili kuona Mungu anasema nini kuhusu ndugu. Leo nimeangalia maeneo machache kama ifuatavyo:

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin
  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

SIFA KUU ZA SADAKA INAYOMPENDEZA MUNGU

SIFA KUU ZA SADAKA INAYOMPENDEZA MUNGU

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

Marko Mtakatifu 6:38-39

“ Akawaambia , mnayo mikate mingapi? Nendeni mkatazame walipokwisha kujua wakasema , mitano na samaki wawili . Akawaagiza wawaketishe wote, vikao , vikao penye majani mabichi.”

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

Marko Mtakatifu 6:47-48

“Na kulipokuwa jioni mashua ilikuwa katikati ya bahari, na yeye yu peke yake katika nchi kavu. Akawaona wakitaabika kwa kuvuta makasia, kwa maana upepo ulikuwa mbiso, hata ilipopata kama zamu ya nne ya usiku akawaendea, akitembea, juu ya bahari, akataka kuwapatia."

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

Part 01- Luka Mtakatifu 6:37-38

“Msihukumu nanyi hamtahukumiwa, msilaumu, nanyi hamtalaumiwa, achilieni; nanyi mtaachiliwa. Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa, kipimo cha kujaa nakushindiliwa, na kusukwa –sukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu.Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.”

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

Part 02- Luka Mtakatifu 6:37-38

“Msihukumu nanyi hamtahukumiwa, msilaumu, nanyi hamtalaumiwa, achilieni; nanyi mtaachiliwa. Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa, kipimo cha kujaa nakushindiliwa, na kusukwa –sukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu.Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.”

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

Part 03- Luka Mtakatifu 6:37-38

“Msihukumu nanyi hamtahukumiwa, msilaumu, nanyi hamtalaumiwa, achilieni; nanyi mtaachiliwa. Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa, kipimo cha kujaa nakushindiliwa, na kusukwa –sukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu.Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.”

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

Part 04- Luka Mtakatifu 6:37-38

“Msihukumu nanyi hamtahukumiwa, msilaumu, nanyi hamtalaumiwa, achilieni; nanyi mtaachiliwa. Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa, kipimo cha kujaa nakushindiliwa, na kusukwa –sukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu.Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.”

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

LUKA 15:18

“Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako”.

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

Luka 15:29

“Akamjibu baba yake, akasema, Tazama mimi nimekutumikia miaka mingi hii, wala sijakosa amri yako wakati wowote, lakini hujanipa mimi mwana - mbuzi, nifanye furaha na rafiki zangu.”

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

Luka 19:43-44

“Kwa kuwa siku zinakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote; watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako."

  • On: 05 Nov, 2023
  • Admin

Yohana 1:11-12

“Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea. Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake.”